Kinda wa Chelsea, Bertrand Traore akipambana na mkongwe bwa Liverpool, Kolo Toure katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la Liverpool lilifungwa na Christian Benteke dakika ya 93, baada ya Eden Hazard kutangulia kuifungia Chelsea dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Singapore refuses to negotiate safe Hormuz passage on principle, DPM Gan
says; Dark ships and shadow fleets move oil near Singapore waters:
Singapore live news
-
Singapore rejects Hormuz talks, citing UNCLOS rights amid tensions. Shadow
oil trade near Singapore persists as dark ships evade global tracking
efforts
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment