Kinda wa Chelsea, Bertrand Traore akipambana na mkongwe bwa Liverpool, Kolo Toure katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield, timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la Liverpool lilifungwa na Christian Benteke dakika ya 93, baada ya Eden Hazard kutangulia kuifungia Chelsea dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs 'expect Rashee Rice to be suspended for at least half a season',
claims NFL insider with wide receiver facing eight charges after 119mph
Dallas car crash
-
Rice, 24, surrendered to police last month after he and another driver of a
speeding sports car allegedly caused a crash involving a half-dozen
vehicles on...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment