Mshambuliaji wa Real Madrid, Mreno Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi. Kwa mabao hayo, Ronaldo ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kihistoria kufunga mabao zaidi ya 50 kwa misimu sita mfululizo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spurs lacked belief and conviction - Postecoglou
-
Ange Postecoglou says Tottenham lacked "belief and conviction" as their
Champions League hopes were hit by defeat at Chelsea.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment