Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akiinua taji la Ligue 1 na wachezaji wenzake wa Paris Saint-Germain Uwanja wa Parc des Princes baada ya kuisaidia timu yake hiyo kutwaa tena ubingwa wa Ufaransa, kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Nantes, yeye akifunga mabao mawili. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Lucas Moura na Marquinhos PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment