Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka hewani kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote matatu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Nuevo Los Carmenes. Ushindi huo umeifanya Barca kufikisha pointi 91 baada ya kucheza mechi 38 na kutwaa ubingwa wa La Liga, wakiwazidi kwa pinti moja mahasimu, Real Madird PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Giannis, Damian Lillard Working for Return to Bucks from Injuries;
Status TBD
-
Milwaukee Bucks stars Giannis Antetokounmpo (calf) and Damian Lillard
(Achilles) reportedly might be on the floor for Thursday's Game 6 of their
first-round…
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment