Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka hewani kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao yote matatu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Nuevo Los Carmenes. Ushindi huo umeifanya Barca kufikisha pointi 91 baada ya kucheza mechi 38 na kutwaa ubingwa wa La Liga, wakiwazidi kwa pinti moja mahasimu, Real Madird PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jen Psaki Blasts JD Vance as a ‘Loser, Loser, Loser’ After Poor Attendance
at Turning Point Event and Failure in Hungary | Video
-
Jen Psaki didn't hold back when commenting on JD Vance's recent appearance
at a Turning Point USA event and his failure campaigning for Viktor Orbán
in Hun...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment