Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza kati ya mawili (dakika za 26 na 59) katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Valencia jioni ya leo Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Real limefungwa na Karim Benzema dakika ya 42, wakati ya Valencia yamefungwa na Rodrigo dakika ya 55 na Andre Gomes dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks to face Pacers in Eastern Conference semis
-
The New York Knicks will face the Indiana Pacers in the Eastern Conference
semi-finals after both progress from the first round of the NBA play-offs.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment