• HABARI MPYA

    Sunday, October 11, 2015

    RONALDO 'AOLEWA' NA MCHEZA KICK BOXING WA MOROCCO


    Mcheza ngumi na mateke (Kickboxer) Badr Hari akitania ameoana na Cristiano Ronaldo wakati walipokutana mapumzikoni nchin9 Morocco. Ronaldo amepewa mapumziko Real Madrid na amekwenda Morocco na Badr Hari baada ya kuiwezesha Ureno kufuzu Euro 2016 kabla ya mchezo wao wa mwisho dhidi ya Serbia leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO 'AOLEWA' NA MCHEZA KICK BOXING WA MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top