Mshambuliaji Robert Lewandowski 'akibusu' mbele ya mashabiki wa Poland baada ya kuifungia bao timu yake katika mchezo wa Kundi D usiku wa jana kufuzu Euro 2016 Ufaransa dhidi ya Jamuhuri ya Ireland katika ushindi wa 2-1. Bao lingine la Poland lilifungwa na kiungo Grzegorz Krychowiak, wakati la Ireland lilifungwa na Jon Walters kwa penalti baada ya Shane Long kuchezewa rafu na Jakub Wawrzyniak. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wike slams Fubara for seeking second term, says form collection broke
impeachment truce
-
• says remodeling of Abuja city gate brainchild of First Lady From Juliana
Taiwo-Obalonye, Abuja Minister of the Federal Capital Territory (FCT),
Nyesom ...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment