Na Dina Ismail, Dar es Salaam
MSANII wa muziki wa asili nchini, Pascal linda maarufu kama Batarokota amewaomba mashabiki wa muziki nchini kumpigia kura kwa wingi ili aweze kushinda tuzo za kili mwaka 2014.
Akizungumza na BIN ZUBEIRY, msanii huyo alisema kuingia kwenye kinyang'anyiro hicho kumefanikushwa na mashabiki hao hivyo amewaomba kuendelea kumpa ushirikiano kwa kumpigia kura kwa wingi.
"Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sintowashukuru wadau wa muziki hivyo nawaomba waendelee kunisapoti kwa kunipigia kura",alisema
Batarakota ambaye wimbo wake wa Kwejaga Nyangisha umeteuliwa kuwania tuzo hizo kupitia kipengele cha wimbo wenye vionjo vya kitanzania amewaomba mashabiki kumpigia kura kwa kuandika ab1 kwenda no 15440.
Aidha msanii huyo mzaliwa wa Mwanza akifanya kazi zake nchini Kenya, anaimba nyimbo zake akitumia lugha za Kisukuma, Kinyamwezi na Kinyakyusa ambapo kwa sasa yupo mbioni kukamilisha albamu yake ya kwanza.
MSANII wa muziki wa asili nchini, Pascal linda maarufu kama Batarokota amewaomba mashabiki wa muziki nchini kumpigia kura kwa wingi ili aweze kushinda tuzo za kili mwaka 2014.
Akizungumza na BIN ZUBEIRY, msanii huyo alisema kuingia kwenye kinyang'anyiro hicho kumefanikushwa na mashabiki hao hivyo amewaomba kuendelea kumpa ushirikiano kwa kumpigia kura kwa wingi.
Batarokota anaomba kura zenu |
"Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sintowashukuru wadau wa muziki hivyo nawaomba waendelee kunisapoti kwa kunipigia kura",alisema
Batarakota ambaye wimbo wake wa Kwejaga Nyangisha umeteuliwa kuwania tuzo hizo kupitia kipengele cha wimbo wenye vionjo vya kitanzania amewaomba mashabiki kumpigia kura kwa kuandika ab1 kwenda no 15440.
Aidha msanii huyo mzaliwa wa Mwanza akifanya kazi zake nchini Kenya, anaimba nyimbo zake akitumia lugha za Kisukuma, Kinyamwezi na Kinyakyusa ambapo kwa sasa yupo mbioni kukamilisha albamu yake ya kwanza.
Batarokota katikati akiwa na rafiki zake Wazungu |
0 comments:
Post a Comment