• HABARI MPYA

    Monday, April 28, 2014

    MASHABIKI WA CHELSEA NA LIVERPOOL WATWANGANA ANFIELD KISA GERRARD

    VURUGU ilizotokea nje ya Uwanja wa Anfield kufuatia Liverpool kufungwa na Chelsea mabao 2-0 jana.
    Picha zinaonyesha kitimutimu cha maana nje ya Uwanja wa Anfield Road baada ya mashabiki wa Liverpool kuwavaa mashabiki wa Chelsea waliokuwa wakiimba jina la Nahodha wa Wekundu hao, Steven Gerrard baada ya mechi.
    Shabiki mmoja alitupa konde kwa mwenzake, wakati wengine walitenganishwa na Polisi.
    Makosa ya Gerrard yalisababisha bao la kwanza la Chelsea lililofungwa na Demba Ba na mashabiki wa The Blues wakawatia hasira Liverpool kwa kuimba jina la mchezaji huyo. 
    Pata hiyo na ukome: Shabiki wa Liverpool akimchapa konde wa Chelsea nje ya Uwanja wa Anfield
    Chanting: Fans sing outside Anfield following Chelsea's 2-0 victory over Liverpool on Sunday afternoon
    Zomea zomea: Mashabiki wa Chelsea wakizomea kwa jeuri ya ushindi wa 2-0
    Scuffle: Supporters clashed after Liverpool fans reportedly took exception to chants about Steven Gerrard
    Wawili tu: Mashabiki wakizipiga chanzo ni kuzomewa kwa Steven Gerrard
    Tensions mounting: A police officeer on a horse surveys the scene as angry supporters clash
    Polisi wakituliza ghasia
    Not safe: A man leads a child away from the scenes while fights break out behind them
    Sio salama: Baba akiongozana na kijana wake kutoka eneo la vurugu huku watu wakiendelea kuchapana nyuma yake
    Trouble: Police had to restrain fans after things got heated as fans left the stadium
    Ilikuwa si mchezo: Polisi walilazimika kuwaachanisha watu wengine waliopelekana hadi chini katika mapambano yao
    Held back: Police act as a barricade as Liverpool fans sing and chant outside the Anfield Road end
    Wakorofi: Polisi wakiwwka uzio baina ya mashabiki wa Liverpool na Chelsea
    Setback: Liverpool's title hopes took a severe dent as the Reds were beaten at home by Chelsea
    Waacheni tuwachape: Mashabiki wa Liverpool wakisema na Polisi waliokuwa wakituliza ghasia hizo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MASHABIKI WA CHELSEA NA LIVERPOOL WATWANGANA ANFIELD KISA GERRARD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top