• HABARI MPYA

    Monday, April 28, 2014

    LUIS SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND, HAZARD NAYE ANG'ARA

    WANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND

    Mchezaji Bora wa Mwaka: Luis Suarez (Liverpool).
    Mchezaji Bora Chipukizi wa mwaka: Eden Hazard (Chelsea).
    Mchezaji Bora wa kike wa Mwaka: Lucy Bronze (Liverpool Ladies).
    Mchezaji Bora chipukizi wanawake: Martha Harris (Liverpool Ladies).
    MSHAMBULIAJI Luis Suarez ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka Chama cha Wachezaji wa Kulipwa England jana baada ya kufunga mabao 30 msimu huu wa Ligi Kuu na kuisaidia timu yake, Liverpool kuongoza mbio za ubingwa.
    Wazi tuzo hiyo inakuja kupoza machungu ya mchezaji huyo anayevalia jezi namba saba baada ya misimu iliyopita kufungiwa kwa kumkashifu Patrice Evra mwaka 2011 na kusababisha mzozo mkubwa msimu uliopita alipofungiwa mechi 10 kwa kumng'ata beki wa Chelsea, Branislav Ivanovic.
    Akiwa amekosa mwezi wa kwanza wa msimu huu akitumikia adhabu hiyo, Suarez alirejea Liverpool mwishoni mwa September nmwaka jana na kuunda pacha kali la ushambuliaji kwa pamoja na Daniel Sturridge.
    Wote wanatabasamu: Suarez akiwa amepeozi na Eden Hazard wa Chelsea, ambaye ameshinda tuzo ya mwanasoka bora chipukizi wa mwaka
    Well-deserved: Liverpool striker Luis Suarez scooped the PFA Player of the Year award on Sunday night
    Well-deserved: Liverpool striker Luis Suarez scooped the PFA Player of the Year award on Sunday night
    Alistahili kabisa: Mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez alistahili tuzo hiyo ya PFA

    WASHINDI WA AWALI WA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND

    1973–74     Norman Hunter     Leeds United        
    1974–75     Colin Todd     Derby County        
    1975–76     Pat Jennings     Tottenham Hotspur
    1976–77     Andy Gray     Aston Villa
    1977–78     Peter Shilton     Nottingham Forest 
    1978–79     Liam Brady     Arsenal
    1979–80     Liverpool     FWA
    1980–81     John Wark     Ipswich Town        
    1981–82     Kevin Keegan     Southampton        
    1982–83     Kenny Dalglish     Liverpool
    1983–84     Ian Rush     Liverpool    
    1984–85     Peter Reid     Everton        
    1985–86     Gary Lineker     Everton    
    1986–87     Clive Allen     Tottenham Hotspur
    1987–88     John Barnes     Liverpool    
    1988–89     Mark Hughes     Man United   
    1989–90     David Platt     Aston Villa        
    1990–91     Mark Hughes     Man United    
    1991–92     Gary Pallister     Man United  
    1992–93     Paul McGrath     Aston Villa        
    1993–94     Eric Cantona     Man United   
    1994–95     Alan Shearer     Blackburn Rovers     
    1995–96     Les Ferdinand     Newcastle United   
    1996–97     Alan Shearer     Newcastle United      
    1997–98     Dennis Bergkamp Arsenal    
    1998–99     David Ginola     Tottenham Hotspur    
    1999–2000     Roy Keane     Man United    
    2000–01     Teddy Sheringham     Man United    
    2001–02     Ruud van Nistelrooy     Man United    
    2002–03     Thierry Henry     Arsenal    
    2003–04     Thierry Henry     Arsenal
    2004–05     John Terry     Chelsea        
    2005–06     Steven Gerrard     Liverpool        
    2006–07     Cristiano Ronaldo     Man United
    2007–08     Cristiano Ronaldo     Man United
    2008–09     Ryan Giggs     Man United
    2009–10     Wayne Rooney     Man United    
    2010–11     Gareth Bale     Tottenham Hotspur     
    2011–12     Robin van Persie     Arsenal
    2012–13     Gareth Bale     Tottenham Hotspur
    Double delight: Gareth Bale won both the Player of the Year and Young Player of the Year awards on Sunday
    Tuzo mbili: Gareth Bale alishinda tuzo zote, Mwanasoka Bora chipukizi na Mwanasoka Bora England mwaka jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUIS SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND, HAZARD NAYE ANG'ARA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top