Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akiwatoka mabeki wa Mbeya City jana |
Gaudence Mwaikimba kulia akiwania mpira dhidi ya wachezaji wa Mbeya City |
Gaudence Mwaikimba akimiliki mbele ya wachezaji wa Mbeya City |
Gaudence Mwaikimba kulia akiwatoka wachezaji wa Mbeya City |
Mwenyekiti wa Azam FC kushoto, Sheikh Said Mohammed |
Katibu wa Azam FC, Nassor Idrissa 'Father' kulia akizungumza na Mzee Jamal Bakhresa kushoto wakati mechi ikikaribia kuanza |
Wachezaji wa Mbeya City wakimzonga refa Nathan Lazaro jana |
Mashabiki jukwaani wakiwa na miamvuli |
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao akimtoka mchezaji wa Mbeya City |
Mabingwa; Kikosi cha Azam FC jana Uwanja wa Sokoine |
Kikosi cha Mbeya City ambacho kimejihakikishia nafasi ya tatu katika Ligi Kuu |
Mashabiki wakiwa Uwanja wa Sokoine jana. |
0 comments:
Post a Comment