• HABARI MPYA

    Sunday, December 01, 2013

    CHISORA AMTANDIKA MTU KO RAUNDI YA TATU...NI PAMBANO LA NNE MWAKA HUU KUSHINDA

    Mchezo umeisha! Bondia Ondrej Pala akiwa ameegemea kamba kujiepusha na kipigo zaidi kwa Dereck Chisora raundi ya tatu katika pambano la ngumi uzito wa juu lililofanyika kwenye ukumbi wa Copper Box Arena, London, Uingereza usiku wa kuamkia leo. Chisora alikuwa anatetea taji lake la WBO Intercontinental wakati taji la WBA International lilihusishwa pia.
    Game opponent: Ondrej Pala was an ambitious challenger until the third-round stoppage came
    Ondrej Pala wa Jamhuri ya Czech alipambana hadi raundi ya tatu aliposalimu amri kwa Knockout (KO), hilo linakuwa pambano la nne mwaka huu Chisora kushinda, likiwemo lile la ubingwa wa Ulaya alilotwaa September kwa kumpiga Edmund Gerber raundi ya pili.
    Going toe-to-toe: Dereck Chisora's impressive chin again proved reliable against any big punches thrown
    Dereck Chisora akimuadhibu mpinzani
    Fighting back: But even in the earlier stages, it appeared Dereck Chisora's greater class would tell
    Covering up: Dereck Chisora (right) also took several big shots from his Czech opponent
    Dereck Chisora naye alipokea mikono kadhaa ya mpinzani kutoka Czech
    All smiles: Dereck Chisora and promoter Frank Warren (right) know 2013 has been a good year for the fighter
    Dereck Chisora na promota Frank Warren (kulia) wakifurahia mafanikio ya mwaka 2013
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHISORA AMTANDIKA MTU KO RAUNDI YA TATU...NI PAMBANO LA NNE MWAKA HUU KUSHINDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top