• HABARI MPYA

    Saturday, November 11, 2017

    URENO YAWAFUNDISHA SOKA SAUDI ARABIA, YAWAPIGA 3-0

    Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: URENO YAWAFUNDISHA SOKA SAUDI ARABIA, YAWAPIGA 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top