Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ezekiel Elliott, Dalvin Cook's Best Landing Spots After 2024 NFL Draft Day 2
-
There were no running backs selected on Day 1 of the NFL draft, but after
teams secured their first-round picks, Day 2 saw XXX taken off the board.
XXXXX For…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment