Romelu Lukaku akiifungia kwa kichwa Ubelgiji bao pekee la ushindi dakika ya 72 ikiilaza Japan 1-0 usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydelstadion mjini Brugge katika mchezo wa kirafiki na kuweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu yake ya taifa, akifikisha mabao 31 na kumpiku Bernard Voorhoof aliyefunga mabao 30 kati ya mwaka 1928 na 1940 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Bright on 'biggest game of career' against Barca
-
Chelsea captain Millie Bright tells BBC Sport it is the "biggest game of
our careers" as the Blues prepare to take on Barcelona in the Women's
Champions Le...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment