Romelu Lukaku akiifungia kwa kichwa Ubelgiji bao pekee la ushindi dakika ya 72 ikiilaza Japan 1-0 usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydelstadion mjini Brugge katika mchezo wa kirafiki na kuweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu yake ya taifa, akifikisha mabao 31 na kumpiku Bernard Voorhoof aliyefunga mabao 30 kati ya mwaka 1928 na 1940 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment