Romelu Lukaku akiifungia kwa kichwa Ubelgiji bao pekee la ushindi dakika ya 72 ikiilaza Japan 1-0 usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydelstadion mjini Brugge katika mchezo wa kirafiki na kuweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu yake ya taifa, akifikisha mabao 31 na kumpiku Bernard Voorhoof aliyefunga mabao 30 kati ya mwaka 1928 na 1940 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fund football yourself if you don’t want gov’t to interfere – Otumfuo
to GFA
-
The Asantehene, Otumfuo Osei Tutu II, has urged the Ghana Football
Association (GFA) to seek independent funding if it wishes to avoid
government interfere...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment