Romelu Lukaku akiifungia kwa kichwa Ubelgiji bao pekee la ushindi dakika ya 72 ikiilaza Japan 1-0 usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydelstadion mjini Brugge katika mchezo wa kirafiki na kuweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu yake ya taifa, akifikisha mabao 31 na kumpiku Bernard Voorhoof aliyefunga mabao 30 kati ya mwaka 1928 na 1940 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The five tricks England MUST use to beat India in T20 World Cup semi-final:
Sam Curran's unique weapon, how to combat Jasprit Bumrah and the high-risk
gamble worth taking
-
Harry Brook's team are yet to put in a complete performance at the T20
World Cup but here Daily Mail Sport examines the blueprint for success
against India...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment