// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU MICHEZO YA UFUKWENI AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU MICHEZO YA UFUKWENI AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, July 02, 2023

    TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU MICHEZO YA UFUKWENI AFRIKA


    TANZANIA imemaliza nafasi ya tatu, nyuma ya Morocco na Senegal katika Michezo ya Ufukweni upande wa soka baada ya kushinda mechi mbili dhidi ya Libya na Kenya na kufungwa mbili dhidi ya Morocco na Senegal.
    Tanzania iliyo chini ya kocha Boniphace Pawasa ilfungwa na Morocco 6-4 na Senegal 7-1, huku yenyewe ikiibuka na ushindi wa 5-3 dhidi ya Kenya na 9-3 dhidi ya Libya katika michezo iliyomalizika juzi fukwe za Hammamet nchini Tunisia. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU MICHEZO YA UFUKWENI AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top