// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
IDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEIDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
IDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC
MSHAMBULIAJI mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Idris Ilunga Mbombo amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuchezea Azam FC hadi mwaka 2024. Idris Mbombo aliyejiunga na Azam FC mwaka 2021 akitokea Gouna FC ya Misri amekuwa tegemeo la upachikaji mabao Azam FC ambaye kwenye misimu miwili iliyopita ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara amefunga jumla ya mabao 17.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment