// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); IDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE IDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, July 01, 2023

    IDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC


    MSHAMBULIAJI mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Idris Ilunga Mbombo amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuchezea Azam FC hadi mwaka 2024.
    Idris Mbombo aliyejiunga na Azam FC mwaka 2021 akitokea Gouna FC ya Misri amekuwa tegemeo la upachikaji mabao Azam FC ambaye kwenye misimu miwili iliyopita ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara amefunga jumla ya mabao 17.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IDRIS MBOMBO ASAINI MKATABA MPYA WA MWAKA MMOJA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top