// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
NI MTIBWA SUGAR MABINGWA TENA WA LIGI KUU YA VIJANA U20 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINENI MTIBWA SUGAR MABINGWA TENA WA LIGI KUU YA VIJANA U20 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
NI MTIBWA SUGAR MABINGWA TENA WA LIGI KUU YA VIJANA U20
TIMU ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vijana kwa mara ya tano mfululizo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Mtibwa Sugar U20 ya kocha Awadh Juma limefungwa na mshambuliaji wake tegemeo, Athumani Makambo dakika ya 97 na kuzima ndoto ya Vijana wa Choke Abeid kubeba taji la kwanza la michuano hiyo. Mapema katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu, Azam FC iliichapa Kagera Sugar 3-1 hapo hapo Azam Complex. Mabao yote ya Azam FC ya kocha Mohamed Badru yamefungwa na Cyprian Kachwele dakika za 22, 27 na 45 na ushei, wakati la Kagera Sugar ya kocha Vincent Barnabas limefumgwa na Hussein Kombo dakika ya 90 na ushei.
Diving duo win Team GB's first medal of Paris 2024
-
Watch as Great Britain's Scarlett Mew Jensen and Yasmin Harper secure GB's
first bronze medal as they scored over 300 points in Women's synchronised
3m spr...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment