// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC YAKAMILISHA USAJILI YA MKALI KUTOKA RAJA CASABLANCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC YAKAMILISHA USAJILI YA MKALI KUTOKA RAJA CASABLANCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, July 02, 2023

    AZAM FC YAKAMILISHA USAJILI YA MKALI KUTOKA RAJA CASABLANCA


    KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Gambia, Gibril Sillah, 'The Killer', amekamilisha taratibu za kujiunga na klabu ya Azam baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea Raja Club Athletic, maarufu kama Raja Casablanca.
    Huyo mchezaji wa pili tu mpya kuelekea msimu ujao, baada ya kiungo mwingine mshambuliaji Feisal Salum kutoka Yanga ya nyumbani, Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAKAMILISHA USAJILI YA MKALI KUTOKA RAJA CASABLANCA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top