BEKI Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa amesema kwamba wao kama wachezaji wapo tayari kuikabili Simba katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Feseration Cup (ASFC) kesho Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.
VÍDEO: BRUCE KANGWA AKIZUNGUMZA LEO MTWARA
Kwa upande wake, Kocha Kali Ongala amesema kwamba anafurahi kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu atakuwa na wachezaji karibu wote walio fiti ambao wanapigania kuanza kwenye mchezo wa kesho.
VÍDEO: KALI ONGALA AKIZUNGUMZA LEO MTWARA
0 comments:
Post a Comment