WENYEJI, Manchester United wamejiweka kwenye nafasi nzuri ya kwenda Robo Fainali ya UEFA Europa League kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Betis jana Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao ya Man United yalifungwa na Marcus Rashford dakika ya sita, Antony dakika ya 52, Bruno Fernandes dakika ya 58 na Wout Weghorst dakika ya 82, wakati la Real Betis limefungwa na Ayoze Pérez dakika ya 32. Timu hizo zitarudiana Machi 16 Uwanja wa Benito Villamarín Jijini Sevilla na mshindi wa jumla atakwenda Robo Fainali.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment