WENYEJI, Sporting Lisbon wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Arsenal katika mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora michuano ya UEFA Europa League jana Uwanja wa José Alvalade Jijini Lisbon, Ureno. Mabao ya Sporting Lisbon yamefungwa na Gonçalo Inácio dakika ya 34 na Paulinho dakika ya 55, wakati ya Arsenal yamefungwa na William Saliba dakika ya 22 na Hidemasa Morita aliyejifunga dakika ya 63. Sasa timu hizo zitarudiana Machi 16 Jijini London na mshindi wa jumla atakwenda Robo Fainali.
Asante Kotoko land rising star Saaka Dauda
-
Asante Kotoko have bolstered their attacking options by signing promising
forward Saaka Dauda from fellow Ghana Premier League side Bofoakwa Tano
ahead of ...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment