KLABU ya Simba imemtambulisha mtangazaji mtanashati wa Azam Tv, Ahmed Ally kuwa Afisa wake mpya wa Habari na Mawasiliano, nafasi iliyoachwa wazi na Haji Sunday Manara aliyehamia kwa watani, Yanga SC.
"Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki. Ahmed Ally karibu kwenye klabu ya maisha yako kuwatumikia Wanasimba kama Afisa Habari na Mawasiliano,".
0 comments:
Post a Comment