MSHAMBULIAJI Mspaniola Ferran Torres akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ua 12 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Olympiakos kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Gabriel Jesus dakika ya 81 na Joao Cancelo dakika ya 90 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi tisa na kuendelea kuongoza kundi kwa pointi tatu zaidi ya Porto wanaofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment