Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiwalaza LASK ya Austria 2-1 katika mchezo wa marudiano Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. LASK walitangulia kwa bao la Philipp Wiesinger dakika ya 55 kabla ya Jesse Lingard kuisawazishia Man United dakika mbili baadaye na sasa kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer kinatinga Robo fainali ya Europa League kwa ushindi wa jumla wa 7-1 baada ya kushinda 5-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles DE Brandon Graham shouts 'Dallas sucks!' while onstage at 2024 NFL
Draft, before Philly selects Iowa CB Cooper DeJean
-
Eagles defensive end Brandon Graham couldn't help but take a shot at the
Cowboys when he was brought onstage to announce a pick on Friday night.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment