Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiwalaza LASK ya Austria 2-1 katika mchezo wa marudiano Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. LASK walitangulia kwa bao la Philipp Wiesinger dakika ya 55 kabla ya Jesse Lingard kuisawazishia Man United dakika mbili baadaye na sasa kikosi cha Ole Gunnar Solskjaer kinatinga Robo fainali ya Europa League kwa ushindi wa jumla wa 7-1 baada ya kushinda 5-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'A phenomenal goal!' Isidor hits incredible second for Haiti
-
Wilson Isidor gives Haiti a lead against Morocco with an "extraordinary"
World Cup goal at the Atlanta Stadium.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment