Mohamed Salah akishangilia na Andy Robertson (kulia) baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton usiku wa Ijumaa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Naby Keita dakika ya 36 na Jordan Henderson dakika ya 86 wakati la Southampton limefungwa na Shane Long dakika ya tisa na kwa ushindi huo Wekundu hao wa Anfield wanafikisha pointi 82 katika mchezo wa 33 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu, sasa wakiizidi pointi mbili Manchester City ambao hata hivyo ina mchezo mmohja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snicko cock-up is an embarrassment and almost as bad as a conspiracy from
Aussie operators - and you don't have to be a 'whingeing Pom' to realise
that, writes Wisden Editor LAWRENCE BOOTH
-
It's embarrassing that a series of this magnitude, with careers on the
line, should tolerate even the possibility of inaccuracy, when the
UltraEdge used in...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment