Beki wa Tanzania, Stumai Abdallah akimtoka mchezaji wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Horinela Salu katika mchezo wa kufuzu Olimpiki 2020 Wanawake jana Uwanja wa Taifa Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 2-2
Mwanahamisi Omar 'Gaucho' wa Twiga Stars wakiwatoka wachezaji wa DRC, Exaucee Ndjoli na Emelaude Muyenga
Mfungaji wa bao la kusawazisha la Twiga Stars, Asha Rashid 'Mwalala' akimiliki mpira mbele ya beki wa DRC, Natacha Bakonga
Kikosi cha Twiga Stars kabla ya mchezo wa jana uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha DRC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Twiga Stars uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Taifa
Germany's Merz on high-stakes Washington trip amid Iran fallout
-
German Chancellor Friedrich Merz has arrived in Washington – the first
European leader to visit President Donald Trump since the United States and
Israel l...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment