Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 58 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Aviva mjini Dublin. Mabao megine ya Liverpool yamefungwa na James Milner dakika ya nne, Georginio Wijnaldum dakika ya tisa, Daniel Sturridge dakika ya 73 na Alberto Moreno dakika ya 77 kipa mpya, Mbrazil Alisson Ramses Becker aliyesajiliwa kutoka Roma akianza vyema kwa kusimama langoni kwa mara ya kwanza bila kuruhusu bao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Davis gives BBC pundit death stare live on TV after incredibly
awkward comment at the World Snooker Championship in Sheffield
-
Former snooker star Steve Davis has given a BBC pundit a death stare on
live television after an incredibly awkward comment during the World
Snooker Champi...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment