Gareth Bale akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 39 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Juventus kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa FedExField, Landover, Maryland nchini Marekani. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Marco Asensio yote dakika za 47 na 56 wakati la Juve iliyomkosa mshambuliaji wake mpya, Cristiano Ronaldo ambaye anaendelea na mazoezi ya peke yake mjini Turin limefungwa na Daniel Carvajal aliyejifunga dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aw nuts! Watch moment referee gets hit in the CROTCH with the ball during
the Pacers' elimination of the Bucks
-
A referee got hit in the crotch with the ball during Thursday night's Game
6 between the Indiana Pacers and the Milwaukee Bucks. The official, Justin
Van D...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment