Gareth Bale akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 39 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Juventus kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa FedExField, Landover, Maryland nchini Marekani. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Marco Asensio yote dakika za 47 na 56 wakati la Juve iliyomkosa mshambuliaji wake mpya, Cristiano Ronaldo ambaye anaendelea na mazoezi ya peke yake mjini Turin limefungwa na Daniel Carvajal aliyejifunga dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment