Wachezaji wa PSG wakishangilia na Kombe lao Mabingwa baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco leo Uwanja wa Shenzhen City mjini Shenzhen mabao yake yakifungwa na Angel Di Maria mawili dakika za 33 na 90 na ushei, Christopher Nkunku dakika ya 40 na Timothy Weah dakika ya 67, kikosi cha kocha Thomas Tuchel kikitwaa taji la kwanza msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: Atiku has run out of strategy, opposition stuck in past – Adeyanju
-
Human rights lawyer, Deji Adeyanju said the opposition are trying to oust
President Bola Tinubu in 2027 with the same strategy that failed to stop
his el...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment