Wachezaji wa PSG wakishangilia na Kombe lao Mabingwa baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco leo Uwanja wa Shenzhen City mjini Shenzhen mabao yake yakifungwa na Angel Di Maria mawili dakika za 33 na 90 na ushei, Christopher Nkunku dakika ya 40 na Timothy Weah dakika ya 67, kikosi cha kocha Thomas Tuchel kikitwaa taji la kwanza msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta reaches 100 Premier League wins
-
Delve into the numbers and stats behind our manager's latest achievement as
he hits a ton of league successes
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment