Jefferson Farfan akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Peru dakika ya 28 Uwanja wa Taifa mjini Lima katika ushindi wa 2-0 dhidi ya New Zealand kwenye mchezo wa marudiano wa mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi kwa Amerika Kusini. Bao la pili lilifungwa na Christian Ramos na sasa Peru inakamilisha idadi ya timu 32 zitakazoshiriki Kombe la Dunia mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Kirk Cousins Throws to Falcons WRs amid Injury Rehab After Penix Jr.
Pick
-
Kirk Cousins has officially thrown his first pass as an Atlanta Falcon. The
Falcons shared a video Thursday of the veteran quarterback throwing to wide…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment