Nyota wa Liverpool, Jordan Henderson akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 36 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Engkand Uwanja wa Stamford Bridge, London usiku huu. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Dejan Lovren dakika ya 17 wakati la Chelsea limefungwa na Diego Coasta dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Salah set to stay at Liverpool - Tuesday's gossip
-
Mohamed Salah set to stay at Liverpool, PSG cool interest in Marcus
Rashford, Ajax want to reappoint Erik ten Hag, plus more.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment