Nyota wa West Ham United, Winston Reid (katikati) akiruka juu Uwanja wa Upton Park kushangilia bao la ushindi wa 3-2 aliloifungia timu yake dakika ya 80 jana dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Katika mchezo huo uliokwenda sambamba na sherehe za kuuga Uwanja wa Upton Park kwa kuhamia Uwanja wa Olimpiki msimu ujao, mabao mengine ya West Ham yalifungwa na Diafra Sakho dakika ya 10 na Antonio dakika ya 76 wakati ya Mashetani Wekundu yalifungwa na Anthony Martial dakika za 51 na 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside John Terry's growing property empire as star sells plans for pair of
Surrey mansions on exclusive estate for a cool £5 million
-
John Terry has pocketed more than £5 million after selling off plots for
two mansions he had planned to build, MailOnline can reveal.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment