Beki, kiungo na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ akiwa na jezi ya Fanja nchini Oman moja ya klabu alizochezea enzi za uhai wake, nyingine zikiwa Yanga, Simba, Kariakoo United ya Lindi na Twiga ya Kinondoni alikomalizia soka yake. Kizota ni kati ya vipaji vya hali ya juu kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania.
Aw nuts! Watch moment referee gets hit in the CROTCH with the ball during
the Pacers' elimination of the Bucks
-
A referee got hit in the crotch with the ball during Thursday night's Game
6 between the Indiana Pacers and the Milwaukee Bucks. The official, Justin
Van D...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment