Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akitimua mbio kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 68 katika sare ya 2-2 na Manchester City jioni ya leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 10, wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya nane na Kevin De Bruyne dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Mason Greenwood's transfer price tag - and how Man United could
cash in - as Champions League giants hope to capitalise on chaos at
Marseille
-
Manchester United's summer transfer kitty could be boosted by a sell-on
clause for one of their former players.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment