Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akitimua mbio kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 68 katika sare ya 2-2 na Manchester City jioni ya leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 10, wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya nane na Kevin De Bruyne dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vote for April's Player of the Month
-
It's that time again - make your selection from three Reds for our monthly
star-man award.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment