Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Daniel Sturridge akishangilia bao lake na nyota wa Brazil, Philippe Coutinho na Firmino katika ushindi wa 3-0 wa Liverpool dhidi ya Villarreal kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Bruno Soriano na Adam Lallana na sasa Wekundu hao wa Anfield wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kufungwa 1-0 Hispania na watakutana na Sevilla katika fainali mjini Basel Mei 18
Three more Premier League teams are in talks to play preseason mini tour in
the USA joining seven other clubs in the summer of soccer Stateside
-
Crystal Palace, West Ham, and Wolverhampton Wanderers are in talks to play
a preseason mini tour in America, joining seven other Premier League clubs
to pl...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment