Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Daniel Sturridge akishangilia bao lake na nyota wa Brazil, Philippe Coutinho na Firmino katika ushindi wa 3-0 wa Liverpool dhidi ya Villarreal kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Bruno Soriano na Adam Lallana na sasa Wekundu hao wa Anfield wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kufungwa 1-0 Hispania na watakutana na Sevilla katika fainali mjini Basel Mei 18
Liverpool expect Salah return before end of season
-
Liverpool expect Mohamed Salah to return from injury before the end of the
season after he was forced off against Crystal Palace on Saturday.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment