Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiwa amevua jezi kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Chelsea jioni ya leo Uwanja wa Light. Mabao mengine ya Sundeland yamefungwa na Wahbi Khazri na Fabio Borini, wakati ya Chelsea yamefungwa na Diego Costa na Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking video emerges of cricket star Josh Baker taking three wickets
in his last match just hours before his death aged 20
-
The cricket world was sent into shock on Thursday when Baker's club
revealed the 20-year-old had passed away before tributes began to flow in
for the talen...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment