• HABARI MPYA

        Sunday, January 10, 2016

        SAMATTA ALIVYOTAMBA NA TUZO YAKE JANA DAR, ILIKUWA OYEE OYEE KILA MITAA!

        Mwanasoka Bora Anayecheza Afrika, Mbwana Ally Samatta akiitembeza tuzo yake aliyoshinda Alhamisi mjini Abuja, Nigeria baada ya kuwasili nyumbani, Dar es Salaam usiku wa kuamkia jana.
        Samatta akiwa na Waziri wa Michezo, Nape Nnauye katika hafla maalum ya kumpongeza jana
        Samatta akiwasili ukumbini kwa ajili ya kuzungumza na Waandishi wa Habari jana Dar es Salaam
        Mbwana Samatta akifurahia na tuzo yake jana mjini Dar es Salaam 
        Samatta akizungumza na Waandishi wa Habari katika meza moja na Nnauye

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SAMATTA ALIVYOTAMBA NA TUZO YAKE JANA DAR, ILIKUWA OYEE OYEE KILA MITAA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry