// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
IBRAHIMOVIC KUIKOSA MECHI YA MARUDIANO NA CHELSEA DARAJANI BAADA YA KUUMIZWA NA DAVID LUIZ JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEIBRAHIMOVIC KUIKOSA MECHI YA MARUDIANO NA CHELSEA DARAJANI BAADA YA KUUMIZWA NA DAVID LUIZ JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
IBRAHIMOVIC KUIKOSA MECHI YA MARUDIANO NA CHELSEA DARAJANI BAADA YA KUUMIZWA NA DAVID LUIZ JANA
MSHAMBULIAJI Zlatan Ibrahimovic ataukosa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kutokana na kuumia nyama za paja jana timu yake Paris Saint-Germain ikiichapa mabao 3-1 Chelsea katika robo fainali ya kwanza. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Sweden aliuamia baada ya kugongana na beki wa Chelsea, David Luiz dakika ya 68 na sasa atatakiwa kuwa nje kwa wiki tatu. Ibrahimovic mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni tegemeo la PSG katika kampeni za kutwaa taji la Ulaya na mengine ya nyumbani kukosekana kwake katika mchezo wa Stamford Bridge Jumanne ijayo litakuwa pigo kwa timu yake. Maumivu makubwa: Zlatan Ibrahimovic akiugulia maumivu jana
Item Reviewed: IBRAHIMOVIC KUIKOSA MECHI YA MARUDIANO NA CHELSEA DARAJANI BAADA YA KUUMIZWA NA DAVID LUIZ JANA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Abia police kill 6 kidnappers, free 4 victims
-
From Okey Sampson, Umuahia Police in Abia said they have killed six
kidnappers who have been terrorising the Obingwa axis of Aba and rescued
four kidnapp...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment