Frank Magingi akiwa ameshika jezi ya Namungo FC baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo akitokea Mwadui FC ya Shinyanga
Mshambuliaji Mghana, Stephen Sey akiwa ameshika jezi ya Namungo FC baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga nayo akitokea Singida United iliyoshuka daraja
0 comments:
Post a Comment