Waafrika Jordan Ayew na Wilfried Bony wakishangilia baada ya wote kuifungia Swansea City usiku wa jana Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Wolves na kuiwezesha timu yao kwenda Raundi ya Nne ya Kombe la FA England. Ayew alifunga dakika ya 11 na Bonny dakika ya 69, wakati bao la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bukayo Saka is told to 'pack it in' by Arsenal legend David Seaman as
former goalkeeper tells star to stop exaggerating fouls
-
Arsenal star Saka is one of the most fouled players in the Premier League
and the subject of his treatment by opposition defenders has become a big
talking...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment