• HABARI MPYA

    Tuesday, November 14, 2017

    WAZIRI OMAN AMPA ZAWADI MANARA WA SIMBA

    Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara akipokea zawadi ya Saa ya ukutani kutoka kwa Naibu Waziri wa Michezo wa Serikali ya Oman, Shekh Rashaad Ahmed Al-Hinai jana ofisini kwa Waziri huyo mjini Muscat, Oman  
    Manara naye alimwachia zawadi Waziri huyo kutoka klabu ya Simba 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAZIRI OMAN AMPA ZAWADI MANARA WA SIMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top