Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akitembea kishujaa baada ya kufunga bao la pili la Hispania dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Costa Rica usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki mjini Malaga. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Jordi Alba dakika ya sita, David Silva mawili dakika ya 51 na 55 na Andres Iniesta dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Embiid stars for 76ers after Bell's palsy diagnosis
-
Joel Embiid scores 50 points in Philadelphia's 125-114 win over the New
York Knicks despite dealing with Bell's palsy.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment