Beki Eliaquim Mangala (katikati) akiwa mazoezini na wenzake jana Manchester City ikijiandaa na mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya leo usiku dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi. Mangala anaweza kuanza katika beki ya kati leo kufuatia John Stones kuumia mwishoni mwa wiki kwenye mechi dhidi ya Leicester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Feyenoord ready to conclude deal for Arne Slot to become Liverpool's new
manager - which could cost the Reds £13m and be finalised THIS weekend
-
SAMI MOKBEL: Advanced talks between the two clubs will continue on Friday
with the expectancy at the Dutch club that those discussions will reach a
positiv...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment