Nahodha wa Simba SC, Suleiman Matola (katikati) akiwatambulisha wachezaji wenzake, Nteze John na Joseph Kaniki (kushoto) kwa mgeni rasmi, Mbunge wa Mvomero, Suleiman Sadiq kabla ya mchezo wa hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC ya Zambia Uwanja wa Jamhuri Morogoro mwaka 2002. Simba ilishinda 3-0, lakini ikatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Zambia.
Revealed: Portsmouth fans spread HUMAN ASHES on their pitch in a
mid-pitch-invasion ceremony... killing the grass and leaving it damaged for
their last game of the season
-
Thousands of jubilant Pompey fans raced onto the pitch after a 3-2 win over
Barnsley on April 16 took the club up into the Championship.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment