Nahodha wa Simba SC, Suleiman Matola (katikati) akiwatambulisha wachezaji wenzake, Nteze John na Joseph Kaniki (kushoto) kwa mgeni rasmi, Mbunge wa Mvomero, Suleiman Sadiq kabla ya mchezo wa hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC ya Zambia Uwanja wa Jamhuri Morogoro mwaka 2002. Simba ilishinda 3-0, lakini ikatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Zambia.
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment