• HABARI MPYA

    Sunday, November 19, 2017

    ‘KAPTENI’ MATOLA, NTEZE JOHN NA KANIKI SIMBA SC 2002

    Nahodha wa Simba SC, Suleiman Matola (katikati) akiwatambulisha wachezaji wenzake, Nteze John na Joseph Kaniki (kushoto) kwa mgeni rasmi, Mbunge wa Mvomero, Suleiman Sadiq kabla ya mchezo wa hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC ya Zambia Uwanja wa Jamhuri Morogoro mwaka 2002. Simba ilishinda 3-0, lakini ikatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza Zambia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ‘KAPTENI’ MATOLA, NTEZE JOHN NA KANIKI SIMBA SC 2002 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top