• HABARI MPYA

    Monday, January 18, 2016

    SUAREZ AFUNGA MATATU, MESSI, NEYMAR NA RAKITIC MOJA KILA MMOJA BARCA YAUA 6-0 LA LIGA

    Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Messi, Neymar na Rakitic  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUAREZ AFUNGA MATATU, MESSI, NEYMAR NA RAKITIC MOJA KILA MMOJA BARCA YAUA 6-0 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top