Kiungo wa Tottenham Hotspur, Christian Eriksen akiteleza chini Uwanja wa White Hart Lane kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Sunderland leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Mousa Dembele na Harry Kane kwa penalti, wakati la Sunderland limefungwa na Patrick van Aanholt PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schefter: Falcons HC 'Truly Loved' Michael Penix Jr. Despite Kirk Cousins
Contract
-
Even though the Atlanta Falcons stunned the world by selecting Michael
Penix Jr. with the No. 8 pick in the 2024 NFL draft on Thursday night, it
was not a…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment