Kiungo wa Tottenham Hotspur, Christian Eriksen akiteleza chini Uwanja wa White Hart Lane kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Sunderland leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Mousa Dembele na Harry Kane kwa penalti, wakati la Sunderland limefungwa na Patrick van Aanholt PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saudi Pro League, the US or Europe – what are Salah's options?
-
Liverpool reporter Aadam Patel analyses what Mohamed Salah's next move
might be following the forward's announcement that he is to leave the club
this summer.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment