• HABARI MPYA

    Monday, May 01, 2023

    SERIKALI YASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WOTE UWANJA WA MKAPA


    SERIKALI imeusimamisba kazi uongozi wote wa Juu wa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kupisha uchunguzi wa tukio la kuzimika kwa taa wakati wa mechi, ambalo jana lilijirudia kwa mara ya pili timu ya Yanga ikimenyana na Rivers United ya Nigeria.

    Pamoja na hayo, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa pongezi kwa klabu ya Yanga kufuzu Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia kuitoa Rivers United ya Nigeria kwa jumla ya mabao 2-0.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERIKALI YASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WOTE UWANJA WA MKAPA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top