Mabao ya Simba SC leo yamefungwa na mshambuliaji Mkongo, Jean Baleke dakika ya 36, beki Kennedy Juma dakika ya 47, mshambuliaji Mzanzibari Mohamed Mussa dakika ya 69 na beki Jimmyson Mwanuke dakika ya 90.
SIMBA SC YASHINDA 4-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI ASFC
Mabao ya Simba SC leo yamefungwa na mshambuliaji Mkongo, Jean Baleke dakika ya 36, beki Kennedy Juma dakika ya 47, mshambuliaji Mzanzibari Mohamed Mussa dakika ya 69 na beki Jimmyson Mwanuke dakika ya 90.
0 comments:
Post a Comment