BAO pekee la Karim Benzema dakika ya 78 akimalizia pasi ya Vinícius Júnior limeipa Real Madrid ushindi wa 1-0 dhidi ya Liverpool katika mchezo wa marudiano Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jana Uwanja wa Santiago Bernabéu Jijini Madrid.
Kwa matokeo hayo, Real Madrid inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 6-2 kufuatia kuwachapa Liverpool 5-2 kwenye mechi ya kwanza England.
0 comments:
Post a Comment